SPECIAL RECEPTION FOR FIRST YEAR STUDENT
Uongozi wa USCF SAUT MWANZA(UKWATA SAUT MWANZA) Unapenda kuwapongeza wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Chuo cha Mtakatifu Agustino Behewa kuu la Mwanza
Uongozi wa USCF SAUT MWANZA(UKWATA SAUT MWANZA) Unapenda kuwapongeza wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Chuo cha Mtakatifu Agustino Behewa kuu la Mwanza
Sambamba na hilo tunapenda kuwakaribisha kujumuika pamoja nasi kumsifu na Kumwabudu Mungu wetu. Ratiba na nawaana ya kuwasiliana na Viongozi upo kwenye Tangazo hilo hapo juu.
KARIBUNI SANA AHSANTE
Mungu akubariki
BWANA YESU ASIFIWE..........................
Tunakukaribisha kwenye semina ya neno la Mungu iliyo andaliwa na USCF-SAUT MWANZA.
Semina hiyo itafanyika Tarehe 12/11/2017 kuanzia saa nane kamili mchana (14:00) mpaka saa kumi na mbili jioni(18:00).
TITLE:UMUHIMU A KUJITAMBUA,KUTUZA UJANA,NA KUSUDI LA MUNGU NDANI YAKO
Mwijilist Devid will minister.
Venue ni M4 kwa wakaka, M3 kwa Wadada.
WOTE MNAKARIBISHWA Usipange kukosa
Tunakukaribisha kwenye semina ya neno la Mungu iliyo andaliwa na USCF-SAUT MWANZA.
Semina hiyo itafanyika Tarehe 12/11/2017 kuanzia saa nane kamili mchana (14:00) mpaka saa kumi na mbili jioni(18:00).
TITLE:UMUHIMU A KUJITAMBUA,KUTUZA UJANA,NA KUSUDI LA MUNGU NDANI YAKO
Mwijilist Devid will minister.
Venue ni M4 kwa wakaka, M3 kwa Wadada.
WOTE MNAKARIBISHWA Usipange kukosa
Subscribe to:
Comments (Atom)






