ibada hii ilihudhuriwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza Magessa Mulongo, wahadhiri wa chuo kikuu cha SAUT, Wanfunzi pamoja na Wana USCF-SAUT. Bwana Ametwaa Jina lake libarikiwe. Amen
| Wanafunzi wa Chuo cha SAUT-Mwanza wakiingia katika Jengo la kuhifadhia miili. |
| Walioshika mataji ni majirani zake alikuwa anaishi |
| Wnafunzi wa Chuo cha SAUT -Mwanza na Wana USCF-SAUT Wakisubiri kuuaga Mwili wa Marehemu Esther Mwakibete |
| Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magessa Mulongo Akitoa Salamu za Rambi Rambi kwa niaba ya uongozi wa serikali ya mkoa. |
| Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magessa Mulongo Akitoa Salamu za Rambi Rambi kwa niaba ya uongozi wa serikali ya mkoa. |
| Mchungaji Mlezi wa USCF-SAUT |
| Add caption |