Ni usiku wa tarehe 29 april 2016 ambao utakuwa ni usiku wa sifa, yaani kusifu na kuabudu mpaka ieweleke utakuwa ni usiku wa kuamulia, ni kumsifu na kumwabudu Mungu wetu wa mbinguni Aliye hai. usipange kukosa, Eneo ni utafanyikiia katika kanisa la KKKT NSUMBA lililopo maeneo ya Nyamalango. ni vikundi na watu binafsi mbalimbali wata hudumu na bila kusahau USCF SAUT PRAYS AND WORSHIP TEAM. kwa wewe ulioko mbali usifadhaike, karibu ukutane na Mungu kwa njia ya kusikiliza live namna event itakavyo endeshwa. click here to listen live. www.uscfsaut.blogspot.com. Then listen Ibada za USCF live.
Ibada za USCF-SAUT Live
Hot News From USCF
-
Young Life is a para-church ministry that focuses on running clubs and summer camps for high school students. They exist to introduce th...
-
Mamia ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha mtakatifu Agustino (SAUT) Mwanza leo tarehe 12/3/2015 wamejitokeza katika hospital ya rufaa Bugando Mwa...
-
“ YOU CAN NOT REVERSE TODAY!!” Today is a beautiful gift of life we have ever had, tomorrow is just a myth, a story yet to be...
-
JIONEE TUKIO KATIKA PICHA LA BONANZA KATI YA USCF-SAUT NA USCF-BUGANDO BONANZA HILI LILIPEWA JINA "BONANZA FOR CHARITY" KWANI LI...