Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo. USCF-SJUT tunayo huduma ya kuwasomesha watoto wasiojiweza ambapo mpaka hivi sasa tunao watoto 3 tunao wasomesha na kuwalea Kiroho. Kati ya hao watoto 3, watoto 2 wanasoma kidato cha kwanza, mmoja anasoma shule ya Kikuyu sekondari iliyopo Dodoma na mwengine anasoma shule ya Mtwara Tech. sekondari iliyopo mkoani Mtwara na mwengine anasoma shule darasa la 4 shule ya msingi Kikuyu mkoani Dodoma ambae pia ni mlemavu wa ngozi (Albino).
Uongozi unapenda kukukaribisha wewe upendwaye na Yesu kutoa mchango wa fedha kiasi chochote kile kadri Mungu alivyokubariki kwaajili ya kuhakikisha huduma hii njema inasonga mbele. Kama huduma tunaendelea kujitahidi kuwasomesha watoto hawa lakini kwa wewe kushiriki kwako kutafanyika Baraka sana kama Mlezi wa watoto hawa.
Unaweza kutuma kiasi chochote cha fedha na kitapokelewa. Tuma kwa Mhazini USCF-SJUT (Trezia Mbukwa) kwenye namba za simu zifuatazo:-
Tigo-0652547094
Vodacom-0766607948.
Mungu wa Mbinguni akubariki sana kwa moyo wa utayari ulio nao. Hakika tunamwamini Mungu ataikumbuka sadaka yako. YAKOBO 1:27
Soma zaidi Bonyeza hapa chini
http://uscfsjut.blogspot.com/2015/12/huduma-ya-kuwasomesha-watoto-wasiojiweza.html
Ibada za USCF-SAUT Live
Hot News From USCF
-
Young Life is a para-church ministry that focuses on running clubs and summer camps for high school students. They exist to introduce th...
-
Mamia ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha mtakatifu Agustino (SAUT) Mwanza leo tarehe 12/3/2015 wamejitokeza katika hospital ya rufaa Bugando Mwa...
-
“ YOU CAN NOT REVERSE TODAY!!” Today is a beautiful gift of life we have ever had, tomorrow is just a myth, a story yet to be...
-
JIONEE TUKIO KATIKA PICHA LA BONANZA KATI YA USCF-SAUT NA USCF-BUGANDO BONANZA HILI LILIPEWA JINA "BONANZA FOR CHARITY" KWANI LI...